Chitika

Showing posts with label Sports. Show all posts
Showing posts with label Sports. Show all posts

Sunday, March 9, 2014

Wenger kucheza mchezo wake wa 1000 na Jose Mourinho English Premium League

Wenger v Mourinho

Kati ya michezo ya ligi kuu ya Uingereza isiyopendwa na kocha Arsene Wenger ni dhidi ya Chelsea ya Mourinho. Wakiwa mahasimu wakubwa, Bosi Arsene Wenger anahofu huenda Morinho akaifanya siku yake ikajawa na majonzi.

Thursday, March 6, 2014

Jack Wilshere nje wiki sita

Jack Wilshere

Mchezaji wa kiungo cha kati wa Arsenal Jack Wilshere atakosa kucheza wiki sita baada ya kupata jeraha la mguu katika mechi aliyochezea England hapo juzi iliposhinda Denmark bao moja kwa bila. Kwa sababu hiyo atakosa mchuano wa FA wa robo fainali hapo kesho dhidi ya Everton na Jumanne ijayo atatazama tu timu yake ikicheza na Bayern Munich katika kombe la kilabu bingwa barani ulaya.
Si hayo tu atakosa mechi nne muhimu za ligii ya England kati ya Chelsea, Manchester City, Swansea na Tottenham ambazo zinacheza mwezi huu.

Wednesday, March 5, 2014

Carles Puyol Kutimka Barcelona

Carles Puyol

Nahodha wa klabu ya Barcelona Carles Puyol ametangaza atawahama mabingwa hao wa Hispania mwishoni mwa msimu huu.
Puyol mwenye umri wa miaka 35 aliibukia kutoka vikosi vya vijana wa Barcelona na kujiunga na kikosi kikuu mwaka 1999.
Amewachezea mabingwa watetezi wa La Liga takriban mara 400.
Ameshinda vikombe sita vya ubingwa wa Ligi,vikombe vitatu vya klabu bingwa ya Ulaya,vikombe viwili vya shirikisho la kandanda la Uhispania pamoja na vikombe vya super cup vya klabu za ulaya na Uhispania.
Pia amekua mchezaj muhimu katika nyanja ya kimataifa akiisaidia Hispania kunyakua ubingwa wa bara la Ulaya mwaka 2008 na kombe la dunia miaka miwili badae.
Hata hivyo amekua akisumbuliwa na magoti katika miaka ya hivi karibuni na hakuweza kushiriki katika michuano ya kombe la mataifa ya Ulaya mwaka 2012.
Msimu huu ameichezea Barcelona mara 12 tu.
Puyol, ambae ameiwakilisha Hispania mara 100,alicheza mechi yake ya mwisho dhidi ya Uruguay, Februari 2013.
Amesema angependa kupumzika baada ya kuondoka Barcelona. "sijui ntakachofanya baada ya Juni 30 lakini nina hakika nitapumzika" akaongeza.
"nitaitisha mkutano na waandishi habari mwishoni mwa msimu huu ili niwaage baada ya kuichezea klabu hii kwa muda wa miaka 19 ," alisema Puyol

Monday, March 3, 2014

Mkenya Lupita Nyong'o anyakua tuzo ya Oscar

Lupita Nyong'o

Kama ilivyokuwa imetarajiwa na wengi mwigizaji mashuhuri kutoka Kenya Lupita Nyong'o amenyakuwa tuzo la Oscar la mwigizaji msaidizi wa kike kwa jukumu lake la kuelezea masaibu ya Patseh katika filamu ya utumwa ya ''12 Years A Slave.''

Thursday, February 6, 2014

Possible lineups Liverpool clash against Arsenal

Liverpool vs Arsenal









Arsene Wenger’s men travel to Anfield looking to do a league double and further strengthen their grip at the top of the league against Liverpool.

Martin Skrtel: a win over Arsenal will be vital

Martin Skrtel
Martin Skrtel is anticipating a tough game against Arsenal on Saturday but believes Liverpool have the strength to come out on top.
Arsenal are currently two points clear at the Premier League summit and will be looking to further boost their title chances when they visit Anfield for a lunchtime kick-off.

Will Wenger's Arsenal survive the clash of Liverpool,Manchester United and the giants of Munich?!

Arsenal
Arsene Wenger called February a 'big month' for his team, but then the Arsenal manager is not prone to hyperbole. 

Starting with Saturday's lunchtime kick-off at Anfield, Arsenal play Liverpool away and at home in the Barclays Premier League and FA Cup respectively, as well as hosting Manchester United, Bayern Munich and Sunderland at the Emirates.

Arsene Wenger: no summer bid for Luis Suarez


The Arsenal boss Arsene Wenger has revealed that he wont make a summer bid for the Liverpool hitman Luis Suarez.